Kurasa Zetu

Tuesday, June 8, 2010

Viwanja vitavyotumika na mchakato wa Kombe la Dunia 2010


Jina : Mbombela Stadium
Eneo: Nelspruit
Uwezo wa kubeba watu : 46,000
Sifa : Lina jina la Asili la kiswati  “Mbombela” likiwa na maana “many people together in a small space.”  pia upo karibu na game parks

Jina : Nelson Mandela Bay Stadium.  
Eneo : Nelson Mandela Bay/Port Elizabeth 
Uwezo wa kubeba watu : 46,000 Sifa : Una jina la Mtu Maarufu Barani Afrika

 
Jina la Uwanja : Soccer City Stadium
Eneo : Johannesburg
Uwezo wa kubeba watu : 94,500
Sifa:  Uwanja utaotumika kwa mechi ya Ufunguzi na Fainal za kombe la Dunia

Jina : Green Point Stadium
Mji : Cape Town
Uwezo wa kubeba watu: 70,000
Sifa :Upo karibu na Bahari na milima ya Cape Town , unakadiriwa kujengewa na paa lenye uzito wa tani 4,500 la vioo.

No comments:

Post a Comment