Kurasa Zetu

Thursday, June 17, 2010

Ajali mbaya Magomeni


Mmoja wa wananchi ambaye jina lake halikuweza kufahamika, akiteremka kwenye moja ya magari yaliyopata ajali eneo la Magomeni Mikumi, jijini Dar es Salaam jana.Magari hayo ni lori lenye namba za usajili T267 APE, Toyota Hiace lenye namba T189 AJG na Benz T587 AAC. Katika ajali hiyo iliyohusisha magari saba, dereva wa lori alipata majeraha na kukimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment